![BBC News Swahili](/img/default-banner.jpg)
- Видео 6 261
- Просмотров 71 229 530
BBC News Swahili
Великобритания
Добавлен 1 мар 2013
Video za habari na matukio kutoka BBCSwahili.com
MATANGAZO YA DIRA YA DUNIA 25:06:24
HII LEO KATIKA DIRA YA DUNIA
01:19 MAANDAMANO KENYA
05:01 WATU KADHA WAUAWA
13:48 MZOZO KATI YA SOMALIA NA ETHIOPIA
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili ruclips.net/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
01:19 MAANDAMANO KENYA
05:01 WATU KADHA WAUAWA
13:48 MZOZO KATI YA SOMALIA NA ETHIOPIA
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili ruclips.net/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Просмотров: 3 282
Видео
Serikali ya Tanzania yafikia makubaliano na wafanyabiashara.
Просмотров 10 тыс.23 часа назад
Hata baada ya jana serikali kutangaza kufikia makubaliano na wafanyabiashara, taarifa kutoka baadhi ya maeneo hapa Dar es Salaam na mikoa kama Mbeya na Mwanza zinasema wafanyabiashara wamendelea na mgomo. Mwandishi wa BBC Sammy Awami alizungumza na Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Dar es Salaam Riziki Ngaga kupata undani wa madai yao. #bbcswahili #tanzania #kariakoo Subscribe kupata video m...
'Nililala na kuamka nikaamua naacha kuimba'
Просмотров 5432 часа назад
Mwimbaji nguli wa nyimbo za Taarabu kutoka Tanzania, Mzee Yusuf maarufu kama 'Mfalme wa Taarabu' amezungumza na mtangazaji wa BBC Regina Mziwanda na küelezea masuala mbalimbali kuhusu muziki wa taarabu nchini humo tangu aliporejea tena jukwaani takribani miaka minne iliyopita #bbcswahili #burudani #taarab Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili ruclips.net/channe...
Mamia walifariki dunia wakati wa Ibada ya Hajj kwa sababu ya joto
Просмотров 1,5 тыс.9 часов назад
Mamia ya watu wanadhaniwa kufariki kutokana na hali ya joto kuongezeka katika ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia. Wale ambao wameangamia wanatoka zaidi nchi ishirini na vifo vingi vilikuwa ni vya mahujaji kutoka Misri. BBC ilitembelea jumuiya moja huko ambayo imepoteza zaidi ya watu 20. #bbcswahili #saudiarabia #hijja Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili rucli...
Vuruga chakula maarufu kaskazini mwa Tanzania
Просмотров 86812 часов назад
Vuruga ni chakula maarufu kwa mikoa ya kanda ya kaskazini nchini Tanzania mjini Moshi mchanyiko huu ni wa kuku wa kienyeji na viazi na huliwa zaidi wakati wa usiku kwenye moja ya barabara maarufu. Omar Ramadhani amekuwa akiandaa chakula hiki kwa zaidi ya miaka 15 na amejijengea jina kubwa sambamba na kuwa na wateja wengi ambapo kwa siku huuza si chini ya kuku 10. Mwandishi wa BBC @eagansalla_gi...
Mikakati ya ulinzi kwa watu wenye ualbino Tanzania
Просмотров 33012 часов назад
“Operesheni hizi zihusishe vikosi vya usalama ili kuhakikisha ulinzi wa watu wenye ualbino dhidi ya mashambulizi na vitisho hii ni kwa sababu katika kuzuia unyanyasaji na mauaji ya watu wenye ualbino, Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa zinawajibika katika usimamizi, ulinzi na utoaji wa huduma kwa watu wenye ualbino,” Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wakuu w...
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
Просмотров 21 тыс.14 часов назад
Eliud Samwel Mwakasege @eliudsamwel ni msanii mahiri wa vichekesho aliyejpatia umaarufu ndani na nje ya Tanzania kupitia sanaa ya uchekeshaji majukwaani na katika mitandao ya kijamii. Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ amefanya mazungumzo na @eliudsamwel ambaye pia ameelezea kuhusu simulizi za Farida (Aunty Ramota) ambazo zimempa umaarufu mtandaoni #bbcswahili #tanzania #sanaa Subscribe kupata vid...
'Mitandaoni wanatazama urembo badala ya kazi yangu'
Просмотров 63216 часов назад
'Mitandaoni wanatazama urembo badala ya kazi yangu'
Siku ya Kimataifa ya michezo ya kwanza kuadhimishwa
Просмотров 413День назад
Siku ya Kimataifa ya michezo ya kwanza kuadhimishwa
"Sijawahi kutoa wimbo mkubwa kama huu "
Просмотров 869День назад
"Sijawahi kutoa wimbo mkubwa kama huu "
Kukua kwa Tasnia ya uchekeshaji Tanzania
Просмотров 593День назад
Kukua kwa Tasnia ya uchekeshaji Tanzania
BBC Africa Eye : Vita iliyosahaulika Sudan
Просмотров 2,5 тыс.14 дней назад
BBC Africa Eye : Vita iliyosahaulika Sudan
'Ndani ya saa sita za kuwasiliana, mwanangu alijiua'
Просмотров 49714 дней назад
'Ndani ya saa sita za kuwasiliana, mwanangu alijiua'
Changamoto ya vituo vya gesi katika vyombo vya moto
Просмотров 41814 дней назад
Changamoto ya vituo vya gesi katika vyombo vya moto
Je makubaliano ya Korea Kusini na Afrika yana manufaa gani kwa Afrika?
Просмотров 70014 дней назад
Je makubaliano ya Korea Kusini na Afrika yana manufaa gani kwa Afrika?
Mwanamke anayezamia kupandikiza matumbawe baharini
Просмотров 6 тыс.14 дней назад
Mwanamke anayezamia kupandikiza matumbawe baharini
Je Afrika kugawanyika hivi karibuni?
Просмотров 1,9 тыс.21 день назад
Je Afrika kugawanyika hivi karibuni?
'Ligi hii ni kama NBA, si mpira tu kuna muziki, mitindo, tamaduni, watu maarufu'
Просмотров 51621 день назад
'Ligi hii ni kama NBA, si mpira tu kuna muziki, mitindo, tamaduni, watu maarufu'
Athari za bunduki haramu nchini Kenya.
Просмотров 1 тыс.21 день назад
Athari za bunduki haramu nchini Kenya.
Kwanini Uchaguzi wa Afrika Kusini 2024 ni muhimu kuliko zilizopita
Просмотров 1,3 тыс.28 дней назад
Kwanini Uchaguzi wa Afrika Kusini 2024 ni muhimu kuliko zilizopita
Simulizi ya mama anayepambana kumuokoa kijana wake kunyongwa Saudi Arabia
Просмотров 25228 дней назад
Simulizi ya mama anayepambana kumuokoa kijana wake kunyongwa Saudi Arabia
Hati ya kukamatwa kwa viongozi wa Israel na Hamas ina maana gani?
Просмотров 2,3 тыс.Месяц назад
Hati ya kukamatwa kwa viongozi wa Israel na Hamas ina maana gani?
Jay Melody; Nyota wa Afrika Mashariki anayetamba kwa tungo za mapenzi
Просмотров 6 тыс.Месяц назад
Jay Melody; Nyota wa Afrika Mashariki anayetamba kwa tungo za mapenzi
Hakuna makubaliano bado BBC sema ukweli angalia mtangazaji anajificha
BBC leo mnashindwa kusema ukweli hali si shwari yaani tushwa mbaya sanaa mmelishwa nini mbona kwa JPM mlikuwa wanazi sanaaa
Kumjua Mungu raha sana❤
Wazee wa ndio ni wengi bungeni
Hapo kwenye kukadiriwa mauzo ghafi inaumiza, hawaju una losse una wafanyakazi,kodi ya pango, osha, fire, manispa, mishahara,bili za maji umeme nk, malipo ya nssf kwa wafanyakaz gharama za uendeshaji marejesho ya bank nk
Yesu awape loho ya huluma watu pesa za kausha damu ni shda tena halimashauli nazo zina kuwa kausha damu
Taaa is typing ✍✍
😂😂😂😂😂
Serekali in ubaguzi inabagua raia zake kuna wanaostahiki kulipakodi na wanaopewa huruma na serekali wasilipe kodi
Mpaka gari bovu linaandamwa na tre pale mwandege kucha magari yanaparasuwa pale bagamoyo kutwa tre inaparasa madereva dhuluma imezidi
Mwanza watu wamewekwa ndani 50000 faini 250000 several da ilemela yaani inaumiza yaanu zinauma sana japo nwamelipa basi ukandamizi
Eliud una uwezo mkubwa sana, MUNGU akuinue zaidi akulinde pia, usije ukabadilisha ualisia wako
Kinachonikera ni service levy
Ila Kenya
Hongera sana ndugu
Si kweli kuwa hawa ccm hayo hawayajui kulazimisha kodi huo ndiyo upigaji wao yaani wizi mkubwa kupita kiasi
Hizo sheria mbovu zinaonyesha kwamba rushwa tz haiwezi kuisha kutokana na mfumo mbovu fain ambazo hazilipiki milele
❤
Hao machinga wengine mitaji yao mikubwa kuliko wanaolipa kodi
Nisikilizenii watanzania,,TRA sio tatizo. Tatizo no Wawekezaji wa kihindi na kichina ndio wameharibu biashara ,,tunashindwa kusimamia bei kwa sababu Yao wawekezaji Hadi wateja wamekuwa na kiburi..
Uwo ni ubaguzi jee wew ukibaguliwa utaridhika?Kwani awo ndio wameweka kodi?Usikurupuke kutoa maoni akili ndogo
Ulipe City service halafu ulipe malipo ya kuzoa takataka parking .halmashauri wanafanyia nini hizo pesa?
Ndugu City service inabidi ibakie kwa Impoter au waagizaji wa mizigo viwanda mahoteli any wauzaji huduma siyo maduka ya jumla na rejareja.
Nyinyi wakinga semeni shida zenu msituchanganye na sisi machinga kama mmegoma rudini kwenu mbea kenge nynyi
Akili huna kenge ww
we huelewi kitu mamba ww unadhani wamaduka makubwa wakifunga we utanunua wap hizo takataka zako
@@karimjuma4019 endeleeni kufunga wachawi wakubwa nyinyi mnaacha kufanya biashara muneleta umbea mjini hizo flemu zenu mulizo ficha misukule ndani kama zimewashinda ludini kwenu mbeya kariakoo ni ya kila mtu fisi wakubwa nyinyi
Safi sana
Sahihi kabisa wanazingua sana
Let's try to reduce transactions using cash!
Serikali inawatengenezea watu njia ya Kula rushwa na kufanya wizi. Kodi nyingi hazifiki serikalini zinaishia mifukoni mwa watumishi wa TRA
Kweli service levy ya nn nikama kodi ndogo ulipe tra ulipe manispaa kwel
bado watu wa fire
pia Reseni
Hivi nisawa kitu kimoja kitozwe naTra mara nne, bandalini kitozwe, kwenye duka la jumla kitozwe kikifika kwa wa rejareja kitozwe, ndiyo maana vitu bei.
Point sana ndugu yangu
Tanzania ni ya ajabu utakuta.wanayafikia hadi maduka ya mitaani,haya maduka pipi,,ambayo hata mtaji wake haufikii millions mbili,watu wanakamatwa wanachukuliwa hela zao,rushwa imetamaraki
Umeongea point sana kuchanganya dagaa na samaki ni ngumu kutofautisha harufu zao.
Huyu jamaa ni kichwa. Serikali msikilizeni vizuri mfanye marekebisho maisha yaendelee
Tozeni Kodi BANDARINI na VIWANDANI Kwa kiasi mtakacho ili bidhaa ikifika mitaani isibugudhiwe iwe ni kuuza tu. mfano mkitoza kilo Moja ya sukari sh. 500 kiwansani iwe imeishia kule huku mitaani ikauzwa 3000 sisi tutajua ni elfu 3.
Kodi itozwe BANDARINI na VIWANDANI Kwa kiasi watakacho ili bidhaa ikifika mitaani izwe bila kugudhiwa hapo migomo hii isingekuwepo kabisa!
Doctor mm nilitumia misoprost mala ya kwanz damu ilitok kidog na nilikuwa na mimb ya wiki mbili nkatumia ten miso clear ikatok kidogo na bonge la damu je mimb ilitok au bd ipo dct nisaidie apo sielewii
HIZI TAARIFA DODOMA ATUNA. NDIYO TUNAZISIKIA KWENU
Beira msumbiji bandari ipo
Subili Wana cheza na machinga watahalibu nchi hii
Dogo umeongea vizizuli sana mwigulu na laisi wa chukue mawazo sofi umesahau osha na kushusha kontena mutu anashusha mzigo aliolipiya nakushusha alipe mbumbu hao dawa ni kuzi chapa j.makamba nape lidhiwani hawajasema sawa
Umesema vizuli sheliya na sela ya biashara awepo mufanya kazi mukulima mfanyabiashara kama sela inavyasema Sasa machinga halipi Kodi mama lishe halipi Kodi zaidi ya kuchagua Jiji anae taka kujiaajili ajiajili Kwa vitu hivyo vitatu bila hivo ccm mutasambalatika
UMeongea vizuli sana sana
Kweli kabisa me nashangaa sana eti asimilia 18 bila hata kuangalia ni faida gani inapatikana
Mbona musiandike waandamanaji wauliwa na polisi kenya
Hawajavamia waingia Bunge na nyinyi musituvuruge. Andikeni vitu vyakueleweke
Kujieleza kwake tu anaonekana ameiva big up dogo
😂😂😂😂😂😂
Ninatumai kutakuwa na mlipuko mkubwa wa maarifa na teknolojia mpya zitakazoandaliwa na kubuniwa kutokana na matumizi ya akili mnemba kuanzia Afrika Mashariki. 😉 Pongezi kubwa kwa kongamano hili.
Ninachofurahia ni kuitambua Neema ya Mungu maishani, unyenyekevu na Lugha ya upendo.
Hao warusi mbona Nao watakua mabepari.
Hii interview nimecheka sana mwanzo mwisho
Hongera sana kaka